94.8% Wachaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2017
WANAFUNZI 526,653 sawa na asilimia 94.8 ya waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka huu, wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani katika shule za sekondari za serikali katika awamu ya kwanza huku 28,638wakishindwa kupangiwa shule katika awamu ya kwanza.